Mgambo wa jiji la Dar es Salaam wakiwa katika zoezi la kuwakamata
akinadada wanaofanya biashara ya kuuza miili yao maarufu kama
Machangudoa katika eneo la Sinza.
Picha hizi ( juu) zinaonesha namna walivyokuwa wakipakiwa ndani ya Gari tayari kwa kupelekwa katika vyombo vya sheria